Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Wandugu hii habari imo ndani VOA
Akiadhimisha miaka 86 Robert Mugabe rais wa Zimbabwe kuwa wachunguzi wa masuala ya Siasa duniani wameona Robert Mugabe anataka kukaa madarakani mpaka kufa kwake. Je wananchi watakubali? au mfumo huu unaitwaje? Je Bongo Sisiem si inataka kukaa madarakani the same of President Mugabe mpaka Chama kisambaratike?
Akiadhimisha miaka 86 Robert Mugabe rais wa Zimbabwe kuwa wachunguzi wa masuala ya Siasa duniani wameona Robert Mugabe anataka kukaa madarakani mpaka kufa kwake. Je wananchi watakubali? au mfumo huu unaitwaje? Je Bongo Sisiem si inataka kukaa madarakani the same of President Mugabe mpaka Chama kisambaratike?