nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Mama yangu alinisimulia aiwahi safiri kwenda sehemu fulani kwa basi...abiria wa pande hizo wanapenda sana kula, mara mayai, mara parachichi, ikipita mihogo lete...anasema hali ya hewa kwenye basi ilikuwa mbaya sana.
Hivi kuna watu hawawezi kukaa bila kumung'unya.
Hivi kuna watu hawawezi kukaa bila kumung'unya.