Tembomtata
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 266
- 426
Nilipokuwa Mzumbe nikipata nondoz yangu ya kwanza nilibahatika kupata na toto moja matata kwel kwel,na bila kuamini mim ndo nilikuw wa kwanza kufungua ukurasa kwa mtoto yule nilikuta wajanja bado kabisaaaa hawajagusa ,ki ukweli tulipendana sana(hadi sasa),tulipomaliza chuo mim nikaamua kijiendeleza kwa mwaka mmoja wakati ule yeye alikuwa nyumban akitafuta kazi, kwa bahat mbaya hakufanikiwa kupat, kwa vile wanajiweza kidogo wakamwambia akajiendeleze kwa kupiga Msc pale IRA-UD.
Kwa vile mim ni mkaazi wa kilimanjaro kuonananae ikawa ishu kidogo lakin angalau mara 1 kwa miez 2 tukawa tunaonana, juzi nikasema nika mtembele mtoto wang, basi nikafika vizuri nika chukua chumba pale Landmark-ubungo nikawa najilia vyangu taratiiiiiibu sasa nikakaa.
Ijumaa,mpaka j4, lj3 akaenda darasan, basi ilipofika saa 7 nikapanda zang mliman nikamwambia aje tupate lunch pale hill park basi mtoto akaja tukawa tunapiga vitu vyetu sasa, baada ya muda wakaja jamaa flan wakawa wamekaa meza ya mbali kidogo, basi binti akaniambia kuwa wale ni classmates wake ila akaanza kutetemeka kishenzi,akawa ananiambia huwa wanamtaniga darasan.
Muda si muda jamaa mmoja kati ya wale akapita akienda maliwatoni binti akakosa comfdnce akawa anasmile minikawa na mpigisha story baada ya kuona hali ile basi jamaa akapita baadae akarudi kukaa kweny kiti chake, basi binti akaniambia tuondoke mahali pale bila kusita nika mwambia poa tuhamie samak samak wakat tunatoka akaniomba akawasalimie basi akaenda akaongea nao kama kwa nusu dakika kisha akarudi akanishika kiuno tukaondoka zetu, wakati tunaelekea huko akaniambia wale jamaa wana gari na huwa wanawatokeaga madem weng,na madem huwa wanashobokaga na gari lao,
Ila mim nikawa na maswal mengi
1.kwanin akose comfednce alipowaona wale jamaa?
2.kwanin aliporudi alinishika kiuno na sio kawaida yake?
wanajamii hebu nisaidieni
Kwa vile mim ni mkaazi wa kilimanjaro kuonananae ikawa ishu kidogo lakin angalau mara 1 kwa miez 2 tukawa tunaonana, juzi nikasema nika mtembele mtoto wang, basi nikafika vizuri nika chukua chumba pale Landmark-ubungo nikawa najilia vyangu taratiiiiiibu sasa nikakaa.
Ijumaa,mpaka j4, lj3 akaenda darasan, basi ilipofika saa 7 nikapanda zang mliman nikamwambia aje tupate lunch pale hill park basi mtoto akaja tukawa tunapiga vitu vyetu sasa, baada ya muda wakaja jamaa flan wakawa wamekaa meza ya mbali kidogo, basi binti akaniambia kuwa wale ni classmates wake ila akaanza kutetemeka kishenzi,akawa ananiambia huwa wanamtaniga darasan.
Muda si muda jamaa mmoja kati ya wale akapita akienda maliwatoni binti akakosa comfdnce akawa anasmile minikawa na mpigisha story baada ya kuona hali ile basi jamaa akapita baadae akarudi kukaa kweny kiti chake, basi binti akaniambia tuondoke mahali pale bila kusita nika mwambia poa tuhamie samak samak wakat tunatoka akaniomba akawasalimie basi akaenda akaongea nao kama kwa nusu dakika kisha akarudi akanishika kiuno tukaondoka zetu, wakati tunaelekea huko akaniambia wale jamaa wana gari na huwa wanawatokeaga madem weng,na madem huwa wanashobokaga na gari lao,
Ila mim nikawa na maswal mengi
1.kwanin akose comfednce alipowaona wale jamaa?
2.kwanin aliporudi alinishika kiuno na sio kawaida yake?
wanajamii hebu nisaidieni