MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Katika hali ambayo ni ya kusikitika na pia ni laana kwa aliyemtendea, Dada mmoja hapa Buguruni ametaka kujinyonga baada ya kidume mmjoja kuweza kumhadaa kwa muda mrefu huku akijifanya ni mlokole mahiri.Dada huyu mwenye miaka isiyopungua 24 aliamua kumsikiliza jamaa na jamaa kumtambulisha kwa watu ambao alisema ni ndugu zake na wazee wa ukoo.Utambulisho huo ulimridhisha mdada kwani aliamini fika jamaa atamuoa kwani hata mchungaji wa kanisa fulani maarufu mtaa huu alipata kutambulishwa.Kutokana na tamaduni msichana anayeolewa na bikira ndoa yake hufungwa siku ya Alhamisi muda wa saa nne asubuhi.Ushawishi na hali ya ukaribu kama anavyosimulia dada huyu ilimfanya atoe tendo lakini chakushangaza kesho yake kidume hakuonekana na inasemekana kaelekea Mwanza na hakuna mawasiliano tena.
Tukio hili limemuumiza dada huyu hadi kufikia hatua yakutaka kujiiringa/kujimyonga.
Ni tabia chafu kwa wanaume wa tabia hizi.
Its so painful and shame upon them/male
Tukio hili limemuumiza dada huyu hadi kufikia hatua yakutaka kujiiringa/kujimyonga.
Ni tabia chafu kwa wanaume wa tabia hizi.
Its so painful and shame upon them/male