coracoid fossa
Member
- Aug 22, 2016
- 55
- 43
Kama 50, hivi...utabahatika?ukitoa za waalimu kuanzaia primary mpaka university na za Afya! zinabaki ngapi?
Kama 50, hivi...utabahatika?ukitoa za waalimu kuanzaia primary mpaka university na za Afya! zinabaki ngapi?
Mbona mnabisha bisha msikute jpm huyu ...Mhe. wamekusikia vijana wataziandaa naamini wameziweka tayari. We zimwage tu.
Kama 50, hivi...utabahatika?
Atatemea note 7guzman_ acha kuwarusha watu roho. Tema mate chini nikuamini Tema mate chini
Unakumbuka nini mkuuMkuu unanikumbusha mbali kwa id yako...orecranon fossa
Unakumbuka nini mkuu
Nimefanya kusudi I know ni coracoid process not fossaOreclanon fossa ni shimo lipo ktk mfupa wa mguu wa carnivores wa porini tofaut na carnivores wa kufugwa
Coracoid fossa??
Unatafuta kiki wwKwa habari yenu ni kuwa kuanzia wiki ijayo zaidi ya nafasi 70000 zitatangazwa na vijana wote bila kujali itikadi za vyama vyenu mtaruhusiwa kuapply.
OVER
Hahahahahahahahahah i love your spirit.walimu tunachukua 30,000, afya 7000 zinazobaki ndo za nyie sijui bachalor of Sociology...n.k
Kwani uhakiki umefikia deadlineKwa habari yenu ni kuwa kuanzia wiki ijayo zaidi ya nafasi 70000 zitatangazwa na vijana wote bila kujali itikadi za vyama vyenu mtaruhusiwa kuapply.
OVER