Ajira zatema? vijana Andaeni CV

Kama Juma Maharagwe mwenyewe alidanganya,sembuse wewe.Watumwa watarajiwa endeeleni kula hewa kwanza.
 
watu wanadanganyika kirahisi sana hasa walimu yani mikopo yenyewe watu wamekosa dalili kabisa kuwa pesa hamna. wanafunzi wenyewe bado wiki tatu wafunge likizo ya December kuna kuajiriwa hapo?
 
Kwani uko nyuma ajira zalikuwa zinatolewa kwa "itikadi za vyama vyenu". Mbona unatanguliza uongo
 
Back
Top Bottom