Una undugu na ikulu? Au umeoteshwaKwa habari yenu ni kuwa kuanzia wiki ijayo zaidi ya nafasi 70000 zitatangazwa na vijana wote bila kujali itikadi za vyama vyenu mtaruhusiwa kuapply.
OVER
Nikweli haina ubishi.Kwa habari yenu ni kuwa kuanzia wiki ijayo zaidi ya nafasi 70000 zitatangazwa na vijana wote bila kujali itikadi za vyama vyenu mtaruhusiwa kuapply.
OVER
Mi mbona nabisha nithibitishieNikweli haina ubishi.
Dah!! kama kuna ka harufu ka ukweli hivi.walimu tunachukua 30,000, afya 7000 zinazobaki ndo za nyie sijui bachalor of Sociology...n.k