Hivi wale wahitimu wa vyuo vya afya na internship wameshapata ajira? Nimetafuta tangazo kwenye website ya wizara nimekosa. Mwenye update anisaidie. (natumia phone ukiweka pdf ntashindwa kusoma)
Sisi wenyewe tunazisubiri ila tetesi zinasemekana barua zimeshatumwa nimethibitisha kwa watu wawili cheki box ulilotumia mzee maana tangazo la kazi lilitoka mwezi wa 10/2011/28 fungua www.moh.tz halafu cheki information in swahili & English
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.