Ajira za watumishi 2016/2017

kdany

Senior Member
Jul 20, 2012
149
25
Tatizo la ajira kwa watumishi katika mwaka tajwa inaonekana ni mfupa ulioishinda serikali ya JPM.Hakuna kiongozi hata mmoja wa serikali iwe Mh.Rais mwenyewe au wasaidizi wake mwenye jibu la uhakika kuhusu swala hili...Mh.Rais mbele ya umma wa watanzania alisema ajira zipo lakini anasitisha kutoa vibali ili kuhakiki watumishi hewa ambalo ni jambo zuri..lakini ni zaidi ya miezi miwili sasa sio mawaziri,Rais mwenyewe hata waandishi wa habari ambao wamekwisha hoji juu ya kauli mwwndelezo ya hili swala baada ya muda aliousema mtufuku Rais kupita..mimi naamini serikali hii ina watu makini itoe majibu ya uhakika juu ya swla hili ili kama vijana waliomaliza katika fani tofauti waamue ni uelekeo upi wachukue juu ya hatma ya maisha yao..tena itoe specific day ya kutoka kwa ajira hizi kama zipo kuliko kutoa majibu kama ya kina Jaffo na Kairuki eti mda wowote kwanzia sasa..mi sijawahi kuuona huo muda wowote...Wana jukwaa hili swala ni letu sote..ndugu zetu wana msongo wa mawazo juu ya swala hili..hata sekta binafsi zinashindwa kuwa ajiri watanzania hawa kwa kuhofia kua mda ambao haujulikano serikali itatoa ajira hvyo watumishi waliokua wamewachukua kulamizika kuondoka kwenye vituo vya kazi...naiomba serikali yangu sikivu itoe jibu lenye mwafaka sasa kwa Taifa letu..kama ajira zipo zinatoka lini na kama hazipo waombe radhi kwa kuwapotezea muda na kuwa hadaa watanzania..
 
umesha wahi kuskia neno kuishi kama mashetani? nakuuliza wewe mtoa mada ( in saut ya ukali tone) umesha wahi kusikia neno kuishi kama sheta? staki unijibu
 
Ukishaambiwa uendelee kuwa mvumilivu we elewa kwamba ni miezi ya kutosha utaisubiri mpaka zitoke.

Leo ni tar.13 (miezi mi3 tangu kusitishwa kwa ajira na nyongeza ya mishahara).
 
Eti wadau hakuna hata group la WhatsApp la watu wanaosubir ajira ili waniadd maana nmekuwa bored had nahc jamii kuntenga vle
Wakuu mim naunga mkono tuanzishe group la whtsap la wote tunaosubr ajira ili tuweze kufalijiana na kupeana plan mbadala za kujikwamua kimaisha maan nafikir kunauwezekan mkubw san tukafundishan furs zngne uko kuliko kukaa tuna subir tran airport..
 
Tatizo la ajira kwa watumishi katika mwaka tajwa inaonekana ni mfupa ulioishinda serikali ya JPM.Hakuna kiongozi hata mmoja wa serikali iwe Mh.Rais mwenyewe au wasaidizi wake mwenye jibu la uhakika kuhusu swala hili...Mh.Rais mbele ya umma wa watanzania alisema ajira zipo lakini anasitisha kutoa vibali ili kuhakiki watumishi hewa ambalo ni jambo zuri..lakini ni zaidi ya miezi miwili sasa sio mawaziri,Rais mwenyewe hata waandishi wa habari ambao wamekwisha hoji juu ya kauli mwwndelezo ya hili swala baada ya muda aliousema mtufuku Rais kupita..mimi naamini serikali hii ina watu makini itoe majibu ya uhakika juu ya swla hili ili kama vijana waliomaliza katika fani tofauti waamue ni uelekeo upi wachukue juu ya hatma ya maisha yao..tena itoe specific day ya kutoka kwa ajira hizi kama zipo kuliko kutoa majibu kama ya kina Jaffo na Kairuki eti mda wowote kwanzia sasa..mi sijawahi kuuona huo muda wowote...Wana jukwaa hili swala ni letu sote..ndugu zetu wana msongo wa mawazo juu ya swala hili..hata sekta binafsi zinashindwa kuwa ajiri watanzania hawa kwa kuhofia kua mda ambao haujulikano serikali itatoa ajira hvyo watumishi waliokua wamewachukua kulamizika kuondoka kwenye vituo vya kazi...naiomba serikali yangu sikivu itoe jibu lenye mwafaka sasa kwa Taifa letu..kama ajira zipo zinatoka lini na kama hazipo waombe radhi kwa kuwapotezea muda na kuwa hadaa watanzania..
naona bado uhakiki wa vyeti unaendelea...nadhani baada ya hapo mambo yanawezakuwa mazuri, maana watu wanakimbia vituo na wengine wanatiwa hatiani!
 
Back
Top Bottom