Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
Jamani vp? kuna lolote la kuridhisha kuhusu ajira za walimu wapya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani vp? kuna lolote la kuridhisha kuhusu ajira za walimu wapya?
Jamani mbona majibu mepesi kwenye maswala magumu? Yaani serkali imefulia so what
Hey ngoja ngoja bwana...Hata wenzio 2lichomeshwa mahindi sana 2010 mpaka 2011 januari...Hivyo bac ajira za walimu zipo ila ni baadaye sana,sababu fedha zenu za kujikimu wamejiongezea posho.....Kama huwezi ngoja tafuta shule binafsi ukainue kizazi huko, kama serikali ikikukumbuka utapima mwenyewe kwenye maslahi zaidi ya sasa na ya baadaye....Mwenzio nilivyoona waki2zingua nilikimbilia private na mpaka sasa bado nipo huko nakula bata aisee.
ANGALIZO:Kuwa makini c kila private inawajali wafanyakazi wake vizuri,fanya uchunguzi kabla ku2ma ombi la kazi.
ajira zitatangazwa hivi karibuni, ila jiandaeni kwenda mikoa ya kusini.
ajira zitatangazwa hivi karibuni, ila jiandaeni kwenda mikoa ya kusini.