vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
duh hapo sasa natishika mkuu.Heb nisaidie mbinu gan itumike ili wasichakachue? Then ntajua ni kiasi gan m2 anapaswa kulipwa kama fedha ya mizigo na wategemezi? Kwel unjuka kazi nisaidien wakuu
1st katika ma'forms yao watakayowapa mjaze mkiripoti tu vituoni... Make sure place of domicile/residence unaandika mbali na kituo mfn. Ukipangwa mtwara unajaza makazi yako ulotoka ni kigona,mwanza (maeneo ya mbali) jitahidi kujaza anwani za hiyo sehemu,..nb.. Esa zatolewa nyingi kufuata umbali mwaka jana ikikuwa tani 5 kwa kila kilometa moja na kila tani ni elfu1.. Ila naskia mwaka huu imepunguzwa hadi tani3...MTAFUTE WARAKA WA WAAJIRIWA WAPYA
2nd. Kuna issue ya wategemezi wako... Kama hauna mke au mtoto... Tengeneza muhtasari wa kikao cha familia au ukoo unaoonesha umekabidhiwa majukumu ya malezi ya watu fulani wasizidi miaka 18 wawe wanasoma,, au wazee (hawa nao wanalipiwa kama wewe au nusu yako) uwe na vyeti vyao vyakuzaliwa
3.. UKIPANGWA CHAKA SANA JITIE UNA HISTORIA YA UGONJWA UNAOKUTAKA UWE KARIBU NA HOSPITAL mfn pumu,moyo,kifua /chakachua cheti kea doc' lazma usogezwe town..
Mengine mkipangiwa tuta 'PM''ana