kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,462
- 5,857
Kama January ikipita bila ajira za walimu, Kikwete pamoja na wazir wake wa elimu hawanabudi kujihuzuru kwa kudanganyifu
Naona umeacha wahazabe wenzio porini umekuja JF kutoa dukuduku lako!....jitahidi kuja mara kwa mara, ipo siku tuu utajua kuandika na kuongea vizuri kama sisi!