LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
wadau inasemekana kuwa ajira za walimu kuanzia daraja la tatu na stashahada zimesitishwa kwa kuanzia mwaka 2011-2013 ni habari kweli?? au ndo mana hadi sasa hakuna hata dalili za walimu walio hitimu 2011 kupata ajira?? inadaiwa kwamba serikali haida pesa na hasa wizara ya elimu ivo inamana kuwa walimu walio maliza mwaka huu hadi watakao maliza mwaka 2013 hawata pata ajira ya serikali ya tanzania je madai haya ni ya kweli????