dagaa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 290
- 379
Habari zenu, mimi naweka kilio changu kwa wizara ya kazi, waje wakague katika kiwanda cha coral, kipo chang'ombe barabara ya mbozi road, tatizo wahindi wamekuwa wengi na wana roho mbaya, kila kitengo ni wahind tena kibaya wanawaleta direct from india na wanalipwa kwa dola na wanapangishiwa nyumb na magar juu na watoto kupewa elimu bure.
Lakin mtanzania anapewa vijicent, yani cheo kinachoitwa meneja au supervisor apewe mswahili ni ndoto, ni mwindi, kuanzia hr, store, sales navyeo vingine kibao, halafu hawaj
Lakin mtanzania anapewa vijicent, yani cheo kinachoitwa meneja au supervisor apewe mswahili ni ndoto, ni mwindi, kuanzia hr, store, sales navyeo vingine kibao, halafu hawaj