Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,060
- 22,755
Hawa Tanroads kwa sasa hawatofautiani sana na mtu ambaye anaingia kwenye chumba cha mtihani huku majibu anayo tayari mkononi. Haya matangazo ni muendelezo tu wa udanganyifu katika kutafuta mbinu za kuhalalisha vitendo vyao vya kibaguzi, hila na upendeleo...