Ndugu na jamaa kwa yeyote anaejua ni lini ajira za kilimo zitatoka maana toka mwaka jana hawajatoa na mpaka sasa kupo kimya eitha watatoa au ndo imetoka cjajua.
naomba kuwasilisha
Ndugu na jamaa kwa yeyote anaejua ni lini ajira za kilimo zitatoka maana toka mwaka jana hawajatoa na mpaka sasa kupo kimya eitha watatoa au ndo imetoka cjajua.
naomba kuwasilisha
Kama unazungumzia ajira za maafisa ugani waliomaliza astashahada na cheti kwa waliosoma vyuo vya kilimo., vilivyo chini ya wizara ya kilimo ni balaaa.,....haya mambo yapo kisiasa....hamna taarifa rasmi kwamba waliomaliza wataajiriwa lini ila kuna tetesi tu kwamba wataajiriwa alfu moja katika mwaka huu wa fedha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.