Ajira ya Uchaguzi Tanzania (Career Elections)

Homer

Member
May 26, 2011
99
22
Hivi imekuwaje mpaka watanzania walio wengi wameugua ugonjwa wa uchaguzi? Imekuwa kila kukicha mijadala mikubwa ni ya uchaguzi-chaguzi tu? Mara vyama: Magamba hapa, Chadema pale, CUF nao ... Halafu watu: EL Monduli, Rosti, Al Sumari, nk. Mijadala ya maana kuhusu maendeleo ya nchi hakuna!

Serikali, vyama vya siasa na watu binafsi wanatumia mabilioni ya fedha kujaribu kuweka 'mtu' wao kwenye post wakati walimu, madaktari, na walala hoi wengine wanazidi kuwa hohe hahe!

Where is the logic? Tumefika kwa waliozoea kula vijisenti na vijipesa vya uchaguzi wanatamani afe mbunge kila wiki ili uchaguzi mdogo uitishwe! Makes me sick to the core:(
 
Hivi huoni kwamba na wewe ni miongoni mwa wale wale!? mbona hujaleta hoja ya msingi ambayo wewe unadhani/ungependa ijadiliwe!
Kweli Nyani haoni Kundule hukupaswa kuongelea wanasiasa hapa kwenye hii thread ungeshusha moja kwa moja nondo ulizonazo ili watu wajadili.
 
  • Thanks
Reactions: CDK
Hivi huoni kwamba na wewe ni miongoni mwa wale wale!? mbona hujaleta hoja ya msingi ambayo wewe unadhani/ungependa ijadiliwe!
Kweli Nyani haoni Kundule hukupaswa kuongelea wanasiasa hapa kwenye hii thread ungeshusha moja kwa moja nondo ulizonazo ili watu wajadili.

Wewe kweli ni kipofu wa fikra. Nasema tujadili maendeleo na shida za wananchi, acheni kujadili watu na uchaguzi kila siku! Sasa mpaka utafuniwe ndio uone hoja ya kujadili? Unataka kudesa hata hoja eti nondo?
 
Wewe kweli ni kipofu wa fikra. Nasema tujadili maendeleo na shida za wananchi, acheni kujadili watu na uchaguzi kila siku! Sasa mpaka utafuniwe ndio uone hoja ya kujadili? Unataka kudesa hata hoja eti nondo?
Kwahiyo haya ndio maendeleo unayoyajadili wewe hapa!!??,.....
No wonder thread imedoda maana naona watu wameamuwa kuipotezea maana hueleweki. Alamsiki!
 
Hivi imekuwaje mpaka watanzania walio wengi wameugua ugonjwa wa uchaguzi? Imekuwa kila kukicha mijadala mikubwa ni ya uchaguzi-chaguzi tu? Mara vyama: Magamba hapa, Chadema pale, CUF nao ... Halafu watu: EL Monduli, Rosti, Al Sumari, nk. Mijadala ya maana kuhusu maendeleo ya nchi hakuna!

Serikali, vyama vya siasa na watu binafsi wanatumia mabilioni ya fedha kujaribu kuweka 'mtu' wao kwenye post wakati walimu, madaktari, na walala hoi wengine wanazidi kuwa hohe hahe!

Where is the logic? Tumefika kwa waliozoea kula vijisenti na vijipesa vya uchaguzi wanatamani afe mbunge kila wiki ili uchaguzi mdogo uitishwe! Makes me sick to the core:(

Tangu ulipotamka hilo jina nilitambua na wewe upo pande hizo hizo!
 
Kwahiyo haya ndio maendeleo unayoyajadili wewe hapa!!??,.....
No wonder thread imedoda maana naona watu wameamuwa kuipotezea maana hueleweki. Alamsiki!
Kudoda ni sawa tu, hilo nilitegemea kwa sababu naona hata JF imeingiliwa na watu waliokaa kishabiki zaidi badala ya kujenga hoja! Hoja nyepesi nyepesi ndizo zinakupeni mental stimulation!
 
Kudoda ni sawa tu, hilo nilitegemea kwa sababu naona hata JF imeingiliwa na watu waliokaa kishabiki zaidi badala ya kujenga hoja! Hoja nyepesi nyepesi ndizo zinakupeni mental stimulation!
Labda kwa kukusaidia tu ni kwamba hapa ni Jukwaa la siasa na JF ina majukwaa mengi, si lazima ukae jukwaa hili.

 
Aisee, wewe ni mbishi wa kuzaliwa (japo safari hii umejibu kwa ustaarabu):cool2:
 
Back
Top Bottom