Wakuu mimi nmemaliza 2012 ila nataka kuomba,kupata mhuri wa chuo sio ishu japo nipo mtaani.
Je kuna viambatanishi km copy za vyeti????
Pliz,najaribu kufungua inagoma kabisa, tafadhali naomba unitumie hiyo fomu kwenye email .jochrisy2005@yahoo.com.Thanks mdau
Hizi kazi watu walishaitwa wanamalizia mafunzo sasa kwenye interview yao waliniitwa mwaka jana sema interview ya kuvua nguo ndo niliishindwa nikasepa asee
Inafunguka na me form ninayo kwenye computer yangu