kaka funguka vizuri,hi ni jamiiforum mtu anapoleta hoja anahtaj msaada yakinifu,kama wew uko pazuri jua kuna wenzako wanataabka,tuwe na nyoyo zakizalendo.
Kwa taarifa za karibu kwa hivi sasa hawajatoa ajira maana tayari walitoa mwanzon mwa mwaka na hivi sasa wapo wengi tu wanaendelea na training,nami ni mmoja wa wahitaji na taarifa hizo nilipewa na afisa mmoja wa taasisi hiyo hivi karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.