Ajira ngumu jamani

<br />
<br />
mkuu ntambaswala,nami niko tayar kufanya kaz popote,nina BSc in Human Nutrition,nipe dili kaka

Jaribu ku-apply TAHEA for internship! sometimes ni vema kuanza kwa internship au volunteerism ili kuweza kupata uzoefu wa kazi!! u r a professional,it's ok,but u need to learn how to work!
Kaka,umeshindwa hata kupiga pindi mashuleni?? au Biology ilikuwa tia maji-tia maji? kuna kazi kibaooooooooooooo,changamoto uliyonayo ni kuwa unataka highly-paying job! Huwezi kupata 100 bila kuanza na moja,hata mbuyu ulianza kama.............................................................! All the best of lucky
 
Ajira mbona zipo!!!! Labda km we unasubiri ya kuajiriwa. Ukingoja sana utajikuta umri umeenda bora uanze na kujiajiri
 
Nimechoka kukaa mtaani. Maisha magumu na ajira hazipatikani.
^ ajira zipo kibao tu, barabara inayoongezwa hapa mbagala wanahitaji wachimba mitaro, pia kuna tenda kibao za kufagia barabara na kuchimba mabomba ya maji..wajenzi wa kufyetua matofali wanahitajika kibao..jamani, tuacheni usharobyror...twende kazi ndugu. Kazi zipo kibao.
 
^ ajira zipo kibao tu, barabara inayoongezwa hapa mbagala wanahitaji wachimba mitaro, pia kuna tenda kibao za kufagia barabara na kuchimba mabomba ya maji..wajenzi wa kufyetua matofali wanahitajika kibao..jamani, tuacheni usharobyror...twende kazi ndugu. Kazi zipo kibao.
<br />
<br />
mbongo mwenye bachelor umwambie apge hzo mishe ataona ka unamdharau bt nchi za wenze2,hzo job znapgwa na wanafunz wa chuo wkt wakisubr kupata kazi za utalaam wao.
 
^ ajira zipo kibao tu, barabara inayoongezwa hapa mbagala wanahitaji wachimba mitaro, pia kuna tenda kibao za kufagia barabara na kuchimba mabomba ya maji..wajenzi wa kufyetua matofali wanahitajika kibao..jamani, tuacheni usharobyror...twende kazi ndugu. Kazi zipo kibao.
<br />
<br />
nataman hata izo kazi ndugu yangu tatizo ni afya yangu hadi mandazi na chapati nlikuwa napika vikanishinda pumu inanisumbua
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
nataman hata izo kazi ndugu yangu tatizo ni afya yangu hadi mandazi na chapati nlikuwa napika vikanishinda pumu inanisumbua
<br />
<br />
check ushaanza usharobaro.
 
vyuo vikuu inabidi vifundishe elimu ya ujasiriamali....kazi sio lazima uajiriwe waweza kujiajiri baada ya kutambua fursa zinazowazunguka
 
kujiajiri nako nitatizo kwa graduates, iyo capital ataipata vp?? ama ndo mambo yakuweka mali zisizohamishika eg (shamba) ili upewe mkopo!!
 
Back
Top Bottom