anuary salum
Member
- Dec 7, 2012
- 70
- 4
Ajira mpya za walimu wa Sekondari,shule za msingi na vyuo. Inasemekana zinatoka kati ya JANUARY 5-15 Mwakani. Na wote waliomaliza vyuo wataajiriwa, Maisha mema walimu wetu.
ajira mpya za walimu wa sekondari,shule za msingi na vyuo. Inasemekana zinatoka kati ya january 5-15 mwakani. Na wote waliomaliza vyuo wataajiriwa, maisha mema walimu wetu.
Ajira mpya za walimu wa Sekondari,shule za msingi na vyuo. Inasemekana zinatoka kati ya JANUARY 5-15 Mwakani. Na wote waliomaliza vyuo wataajiriwa, Maisha mema walimu wetu.
Hii sio news kwa sababu inajulikana na kila mmoja na sio kweli kwamba waliohitimu, ni wale wa liohitimu na kufuzu masomo ya Ualimu
Kwani kila anayehitimua anafaulu? Wizara/serikali inaajiri waliofaulu/waliofuzu tu,namaanhsha waliohitimu tu,labda hukunielewa bro.
Kwani kila anayehitimua anafaulu? Wizara/serikali inaajiri waliofaulu/waliofuzu tu,
Mulugo kasema leo bungeni kuwa ni February.