ajira mpya za walimu 2013-2014

We umechanganyiwa, unahtaji maombi

ajira za walimu nchini imekuwa gumzo sana serikali awashirikiani raisi anasema mwanzoni mwaka 2014 mlugo alisema kuanzia februally/march 2014 kasim majaliwa alisema january 2014 sasa awa awawasiliani a goverment must communicate
 
wala si kweli mi nijuavyo kuna sifa mbili za kusomea ualimu1:kufail 2:umasikini,hayo uyasemayo unajikosha tu,we kama una akiri timamu mwajiri anakuambia hukuona kazi nyingine nawe umo tu,nina wasiwasi na akili za watu wnaosomea ualimu.

Acha kujishaua wewe eti umaskini na kufeli una uhakika na unachosema? Yan wewe ndo mburura kabisaaa na naona umesahau kwamba mpaka unafika stage ya kuingia chuo ni una pass mark nzuri....kaa kimya na upunguze kiherehere sio lazima uchangie
 
Hivi wizara ya elimu haioni kuwa haiwatendei haki walimu kwa kuwacheleweshea bjira walimu? Jaman mwalimu anamaliza chuo mwezi wa 5 anakaa mpaka mwez wa 3 hii siyo haki,wizara iliangalie hili.
 
Nani asiyetaka ajira nyie acheni maneno ya kujikweza.hiyo biashara utaifanya kwa mtaji upi wakati hata boom ulikua unatuma nyumbani kulea ndugu zako.waache waalimu waulizie ajira zao.kama haikuhusu piga kimya.

Nimekukubali sana bro,una busara mn0
 
Nani kakuambia msomi haajiriwi? hebu fikiri vizuri...si wote wana lengo la kutafuta pesa kama unavyofikiri, mwingine anapenda profession yeke tu, hata akilipwa sh. laki 1 kwa mwezi.

Kwa taarifa zilizopo kuhusu waalimu ni kwamba mpaka jana majina yalikuwa tayari na kwenye taarifa ya habari ya asubuhi walitangaza,Yawezekana waandishi waliwahi kupublish au mtandao bado haujakaa vizuri........Mambo yapo tayari ila sijajua kwanini mpaka sasa mtandao hausomi.:baby::baby:
 
ni kweli kabisaaaa.....ajira ni chache sana lakini kazi ni nyingi, chakufanya ni kuungana vijana wenye upeo sawa(the same talent) baada ya kufanya mambo yanayoeleweka na kutambuliwa na jimii(positive effects) ndipo tuigeukie serikali kwa mikopo na wataalamu ambao watakuza upeo wetu zaidi.....mwisho wa siku umasikini tunaupunguza na kuutokomeza kabisa kama tutaridhia kwa moyo mmoja.
 
dah..!! ndugu yangu kila kitu kwenye hizi nchi ambazo inasadikika ni za dunia ya tatu ni grade 'c'.sasa chukua hiyo grade 'c' halafu jumlisha na u-fake wa products tuzitumiazo ndipo tunapapata matatizo ka hayo....yaani mpaka sasa nafasi za kazi hazionekani mtandaoni DUH...!!!!!!:thinking::thinking:
 
dah..!! ndugu yangu kila kitu kwenye hizi nchi ambazo inasadikika ni za dunia ya tatu ni grade 'c'.sasa chukua hiyo grade 'c' halafu jumlisha na u-fake wa products tuzitumiazo ndipo tunapapata matatizo ka hayo....yaani mpaka sasa nafasi za kazi hazionekani mtandaoni DUH...!!!!!!:thinking::thinking:
 
walimu wajiandae kwenda kuripoti mwezi ujao. majina yatatoka hivi karibuni
 
Back
Top Bottom