Ajira mpya za ualimu na siasa za mawaziri wetu wa elimu

diaz

Member
Jan 3, 2013
80
9
Naibu waziri wa elimu aliwahi kutamka kwamba hakuna mwalimu mpya yeyote katika ajira hizi ambazo post zake zimetoka juzi atakayepangiwa jiji la D'salaam.

"Tumelazimika kupeleka walimu 24 tu katika manispaa ya Temeke, Kinondoni na Ilala hatujampangia hata mwalimu mmoja"

Ukicheki vizuri kwenye hiyo list ya ajira mpya utaona kwamba, kumbe yale maneno yake yapo kisiasa zaidi. But ukweli ni huu hapa chini.

Temeke = Walimu 65
Ilala = Walimu 114
Kinindoni = Walimu 51
HIZO NDIYO SIASA ZA BONGO. WATU WANALETA SIASA HADI KWENYE DATA AMBAZO KILA MTU ANAWEZA KUZISOMA.
 
Naibu waziri wa elimu aliwahi kutamka kwamba hakuna mwalimu mpya yeyote katika ajira hizi ambazo post zake zimetoka juzi atakayepangiwa jiji la D'salaam.

"Tumelazimika kupeleka walimu 24 tu katika manispaa ya Temeke, Kinondoni na Ilala hatujampangia hata mwalimu mmoja"

Ukicheki vizuri kwenye hiyo list ya ajira mpya utaona kwamba, kumbe yale maneno yake yapo kisiasa zaidi. But ukweli ni huu hapa chini.

Temeke = Walimu 65
Ilala = Walimu 114
Kinindoni = Walimu 51
HIZO NDIYO SIASA ZA BONGO. WATU WANALETA SIASA HADI KWENYE DATA AMBAZO KILA MTU ANAWEZA KUZISOMA.
hii ndio bongo !siasa siasa kila mahali !
 
Walimu wengi 2 wamepangiwa mjini.singida mjini,arusha mjini,dodoma mjini,lindi mjini,etc.na hao waliopangiwa kijijini naamini watabadili vituo mda si mrefu.only in tz
 
Tatzo haongei na wataalamu wa wizara kujua mahitaj kabla hajaongea. Pia ukichek vzr ktk hii list hasa walimu wapya wenye digrii, "DUPLICATION" ya majina imejitokeza mara nyingi sana, hiyo namba ya waajiriwa wapya hata haifiki. Makosa mengine sijui huyo aliyekuwa anaingiza hakulipwa mshahara! Panapostahil kuweka data za chuo ye anaweka data za aina ya koz mwanachuo aliyochukua! Kaazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom