ni ajiraza serikali kwa mwaka wa fedha 2012/2013
taja positions
karibue fani zote walimu,nurses,engineering, afisakilimo,doctors,afisa maendeleo,nutrition,wahasibu,etc kila halmashauri,
imepangiwa idadi ya kuajili
unaweza kutupa reference tucheki kila halmashauri itaajiri wangapi?karibue fani zote walimu,nurses,engineering, afisakilimo,doctors,afisa maendeleo,nutrition,wahasibu,etc kila halmashauri,
imepangiwa idadi ya kuajili
First year wa MUHAS siku hizi wasumbufu sana. Source eti yeye mwenyewe!!!
unaweza kutupa reference tucheki kila halmashauri itaajiri wangapi?
ok!ni habari njema.ni barua zilizotumwa kila halmashauri,mwezi novemba mwishoni,trace kwa DED
nikikutajia wadhifa wangu utachanganyikiwa,anyway way nimekuelewa ,source barua zilizotawanywa halmashauri mbali mbali nchini
mkuu GOOGLE ni kweli unamfahamu jamaa au zuga tu?wenzio wanataka kujipanga kwa hiyo february kama kwenda kwa babu loliondo waende na mambo ka hizo!!!!
nikikutajia wadhifa wangu utachanganyikiwa,anyway way nimekuelewa ,source barua zilizotawanywa halmashauri mbali mbali nchini
Wabongo lawama nyingi za nini? Mtu kakugea tetesi,kama kweli una shida zifanyie kazi. Kuna mambo mengine hayajawa wazi bado,yapokee hivyohivyo nyuma ya pazia yasipo kuwepo si basi.source mimi mwenyewe