Ajira kwa walimu ambao majina yao hayakutoka mapema

Babylon tower

Member
Mar 31, 2014
60
11
vipi wadau hakuna mwenye update kuhusu walimu ambao walihitimu mwaka jana na hawajapangiwa vituo vya kazi kwamba ni lini watapangiwa!?
 
tusubiri maana walikuwa wanadai kuwa watarelease by 10th of april,but i'm not sure
 
ivi na sisi wa vyuo vingine tuliokosa ajira inakuaje ivi awa tamisemi walijuwa st.john tu ndo wamekosa ajira or kesho nawafuata oficin kwao
 
ivi na sisi wa vyuo vingine tuliokosa ajira inakuaje ivi awa tamisemi walijuwa st.john tu ndo wamekosa ajira or kesho nawafuata oficin kwao
Kifo cha wengi harusi, Hongereni St. John Dodoma, nendeni mkachukue posho ya siku 3 huko Maporini.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom