Babylon tower
Member
- Mar 31, 2014
- 60
- 11
vipi wadau hakuna mwenye update kuhusu walimu ambao walihitimu mwaka jana na hawajapangiwa vituo vya kazi kwamba ni lini watapangiwa!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo cha wengi harusi, Hongereni St. John Dodoma, nendeni mkachukue posho ya siku 3 huko Maporini.ivi na sisi wa vyuo vingine tuliokosa ajira inakuaje ivi awa tamisemi walijuwa st.john tu ndo wamekosa ajira or kesho nawafuata oficin kwao