Ajira kutoka Serikalini Wizara ya Kilimo na Elimu

James fred

Member
Jan 15, 2014
8
4
Wahitimu wa shahada na stashahada ya kilimo wamekuwa na uhakika kuhusu kuajiriwa na serikali, lakini wengi wamekuwa na shaka na pia kukosa uhakika sana kuhusu hizo ajira na isitoshe wameshindwa kujiajiri kutokana na kukosa mitaji.

Lakini langu ni kuomba tuchangie hapa. SERIKALI IMEKUWA NA DENI KUBWA SANA AMBALO WANANCHI NDIO INATAKIWA TULILIPE KUPITIA KODI
NA INAVOKADILIWA KILA MWANANCHI ALIPE ZAIDI YA 670000/= Tsh NA IKIZINGATIWA TUPO ZAIDI YA WATANZANIA MILIONI 44.


Mbali na hilo hivi sasa kumekuwa na maandalizi kuhusu kampeni za siasa hivo nafikiri kodi zilizopandishwa na hata mikopo ya wanafunzi kwa sasa imekuwa ikipitia shuleni ali wakatwe fedha zao zote ikiwa ni ada wanayodaiwa.

SWALI LANGU NI JE? AJIRA ZINAWEZA KUPATIKANA KWA MWAKA HUU SERIKALINI KATIKA WIZARA YA KILIMO NA WIZARA YA ELIMU?.
 
Kwa upande wa walimu serikali inahitaji walimu wa sayansi na hisabati, walimu wa masomo mengine kwa kiasi kikubwa wanatosha na kama wataajiriwa ni kwa kuwahurumia tu.
 
Kwa upande wa walimu serikali inahitaji walimu wa sayansi na hisabati, walimu wa masomo mengine kwa kiasi kikubwa wanatosha na kama wataajiriwa ni kwa kuwahurumia tu.

haahahahahahahahahahaha utaua watu wewe
 
"Kilimo kwanza", ili mkulima alime ana hitaji "mwalimu". Almost sector zote za hapa tz znategemea kilimo ndpo ziendelee kujiimalisha, nadhani ajira zitapatikana tu kwasababu zile walizotangaza mwaka jana december hawajatoa ripoti kwamba wanayafanya nini majina ya walio-apply. Sekta mama ya tz ni kilimo na kinahitaji kisiyumbishwe maana wananchi wake watakufa au kuendelea kusubir misaada isiyokuwa na mwisho. Any way, ajira lazima zipo piga au!
 
Nasikia ajira kwa walimu ni mwezi march na kwa kilimo kuna mtu wizarani aliniambia majina yameandalia so wawe patient to any time kuanzia february
 
Nasikia ajira kwa walimu ni mwezi march na kwa wizara ya kilimo kuna mtu wizarani aliniambia majina yameandaliwa so wawe patient to any time kuanzia february
 
Yawezekana tume ya ajira PSRS haijawezeshwa ndo maana haitolei ufafanuzi juu ya tangazo la ajira Nov.29, 2013
 
Back
Top Bottom