Wanachokianya unatoa elfu 60 unapewa training, ambayo unaelekezwa namna ya kuinstall iyo software yao kwenye simu na laptop, baada ya training unapewa cheti kisha unaunganishwa na wakala, kila utakapoinstall simu moja unapata 2500, kwa laptop ni Tsh 5000...Napenda kuwataarifu wale wote waliosomea (I.T) kwamba kuna nafasi zaidi ya 9900 ambazo zinapatikana kwenye kampuni ya (RET)mob security na pia inatangaza kutafuta mawakala nchi nzima.wanapatikana PPF TAWA,ghorofa ya 17 na namba zao za simu ya mkononi ni hii 0762397790.ni hayo tu kwa kifupi,kama unawafahamu zaidi tafadhali ongezea hapa na ukifanikiwa usisahau kuweka mrejesho hapa (asante kwa kusoma)
Wanachokianya unatoa elfu 60 unapewa training, ambayo unaelekezwa namna ya kuinstall iyo software yao kwenye simu na laptop, baada ya training unapewa cheti kisha unaunganishwa na wakala, kila utakapoinstall simu moja unapata 2500, kwa laptop ni Tsh 5000...
Binafsi nilishindwa kukubaliana na izo "Terms and Conditions"
Jf kama watoto wa baba & mama moja!
Thankx!
Umenifanya nicheke sana aisee!
ndyoko ila wewe undugu nimepingulua! Liwalo na liwe!
Utanifanya nikose usingizi wiki hii yote, mweeeeeeee! Natamani webcam ingekuwa inafanya kazi uone nilivyopiga magoti huku naandika hii post, yaani msamaha pekee ndiyo ninaouomba kwako. Hakika nisamehe tu!