Raia mmoja amejinyonga kwa kamba mwezi mmoja baada ya diwani wake wa ccm kujinyonga hapa katani mlangali wilayani ludewa. Tabia ya kujinyonga inaanza kuchukua chati kubwa hapa katani kwani huyu ni mtu wa tatu kujinyonga wa kwanza akiwa diwani kacheche, Rudolf Chaula.