DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Ajari ya kugongwa kwa Mtoto Mdogo Nchini China ni moja ya dalili ya kuanguka kwa Ujamaa wa china ambao uliwafanya kuishi kama jamii moaja.Mtoto huyo Mdogo aliyegongwa na Magari Mawili na kupitwa na wapita njia watano pasipo kati yao wote hao kutoa msaada ni moja ya picha ya anguko la ujamaa wa kikomunist wa china na kuzalisha watu wakatili hata kwa watoto wadogo.
Tizama picha hiyo inayotia simanzi vibaya nina hakika jambo hilo lingetokea kwenye ardhi ya Marekani au Uingereza haya yasingeonekana kuwa mtoto aliyegongwa kupitwa na magari kadha na watembea kwa miguu bila msaada.Pamoja na kuwa Mataifa hayo watu wake hawakulelewa kwenye mazingira ya ujamaa lakini wanajali kwenye jumuhiya zao.
Jamani hiyo ndiyo China Ya Leo.[video=metacafe;yt-wo0_Yup17yc/tragic_accident_at_foshan_guangdong/]http://www.metacafe.com/watch/yt-wo0_Yup17yc/tragic_accident_at_foshan_guangdong/[/video]
Tizama picha hiyo inayotia simanzi vibaya nina hakika jambo hilo lingetokea kwenye ardhi ya Marekani au Uingereza haya yasingeonekana kuwa mtoto aliyegongwa kupitwa na magari kadha na watembea kwa miguu bila msaada.Pamoja na kuwa Mataifa hayo watu wake hawakulelewa kwenye mazingira ya ujamaa lakini wanajali kwenye jumuhiya zao.
Jamani hiyo ndiyo China Ya Leo.[video=metacafe;yt-wo0_Yup17yc/tragic_accident_at_foshan_guangdong/]http://www.metacafe.com/watch/yt-wo0_Yup17yc/tragic_accident_at_foshan_guangdong/[/video]