CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
mimi nisingelijua jna lake kama sio ye kuandika kuhusu wewe. Kila atakachoandika lazma kikuhusu. Msikilize mwenzio
umeona eeh, huyu anatafuta nitoke vipi my dia!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi nisingelijua jna lake kama sio ye kuandika kuhusu wewe. Kila atakachoandika lazma kikuhusu. Msikilize mwenzio
unalo hilo unagongansha magari enh!
ni kama kichwa cha nini..........cha nanii eeh,nani...
unalo hilo unagongansha magari enh!
wivu utawaueni ndugu.Kiongozi umeguswa sharubu eeh?
Watu mko too protective jamani, mtu kutajwj tu tayari kesi!
Kama charminglady anakupenda kikweli, na kama uliwahi kumsindikiza hadi kwake bila kupata tafrani ya Polisi Jamii, basi mwachilie huru, na kama na yeye anakupenda basi hatakuchakachua, na atarudi kwako salama salmin.
mahaba yanamtatiza halafu domo zege,ndio maana anazunguka maneno.my dia gfsonwin huyu mtu cjui ana mapepo, yan hawezi post chochote bila kuntaja
Wadau mkisikia uongo uliokomaa mpaka ukaota nywele ndo huu. nina kama 3 months natumia simu kuingia jf, siwezi kugonga like kwa yeyote. mtoa mada hebu tupia link ya huo uzi nlio-like. otherwise tutakufungulia kesi ya kuidanganya Jamhuri ya wana chitchat!!!!!!!
Kupokea like kutoka kwa charminglady
Ahsante sana kipenzi wa moyo wangu charminglady kwa kunigongea like kwa mara ya kwanza katika thread fulani hivi,....hii kwangu ni kama ajari ya kufa mtu,hii inanipa nguvu sana katika safari yangu ya kukupata.
Hata hivyo nimeoteshwa kuwa hiyo mimba ya house boy wangu C6 utajifungua Ugali wa mtama.na huo ndio utakuwa mwanzo wangu kwa mbwe mbwe zote'jiandae mama wa shughuli Madame B ,mpiga tarumbeta Judgement best man St. Paka Mweusi,nafasi zingine kuendelea kupangwa na @FP
Niseme tu your my number one............. mwaaaaaaaaa!!!!!!!!
Ukishikwa shikamana.
Ukipendwa pendeka.
Ningekuwa mimi napendwa hivyo ningempa sharti anijazie full-tank, ndipo nitoke nae Coco-Beach!
Mteja wangu
naomba uni ruhusu nifanye kazi!
Mteja wangu
naomba uni ruhusu nifanye kazi!
He,go on my lawyer!!!!