Huyo konda ni kilaza lolTafakuri
Siku hizi hadi Bukoba kuna wamasai ndo ushangae wamefikaje hiko....Bila shaka ilikuwa inatoka Arusha inaelekea Namanga
Lazma mtengwe kwa kuwa bado hamjaamka sana...ila walau siku hizi mmekuwa na usafi na elimu kiasi.....si kama zamaniila wao wanatutenga sana wanatuita "ormeki"
Kama ulikuwepo au nawe mmasai?