Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
VODA ni kampuni binafsi! Mbona watu hamuelewi hilo. VODA sio serikali na haina obligation yeyote kuomboleza. Mnataka nchi nzima tubaki nyumbani tulie? Life goes on. VODA inatumia pesa yake kujipa raha, msiingilia uhuru wa watu binafsi kwa madai ni janga la taifa. Je mnawalaumu walionda kwenye hiyo Miss Tanzania? Na mshindi je? Lawama zinaishia wapi?