Dr-of-three-Phd
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 202
- 30
Mwenye Taarifa ya ajali ya gari la Jeshi zanzibar inayosemekana kutokea leo atupa hapa !
Mwenye Taarifa ya ajali ya gari la Jeshi zanzibar inayosemekana kutokea leo atupa hapa !
nimesikia ktk JAHAZI kuwa kuna boti inawaleta huku bara waliojeruriwa...updates zaidi baadea
Hii nayo siasa? Kalale!Mwenye Taarifa ya ajali ya gari la Jeshi zanzibar inayosemekana kutokea leo atupa hapa !
Kufanya nini si wanadai wajitenge nasisi!?Wabaki hukohuko.
nao hawa wamezidi kutepeta..usikute wameteguka tu mikobo basi amiiiiii twendee baraaa muhimbiliii atii kwa masipeshalisti