Ajali za Kimaro na Mwakyembe zilipangwa

Mambo kama haya huwezi uka conclude, kwani wengi wanakisia ajali kupangwa lakini pia inawezekana kwa upande wa pili ajali zikawa za bila kupangwa..swala ni ushahidi...

kwanini waongope in the first place na uanze kujihami mapema kama mh. Mwakyembe alivyosema sikutaka kuamini lakini maelezo yao ya ajabu ajabu ndio yananipa sababu, ila kama ulivyosema kuna pande mbili mara nyingi and more in some cases, hata hapa pia kuna watu tuna-o ipenda Tanzania na watu wake, kuna watu waliokua wachoyo, wasiotaka ukweli kwa sababu wanazozijua wenyewe though in most cases wasiotaka maendeleo ya taifa bali maendeleo yao binafsi.
 
Hizi ni ajali za kawaida tu, kwani wao wamewekeana ahadi na mwenyezi mungu kuwa hawawezi kupata ajali? Mwakyembe na asitake kuwachanganya watu yeye vile vile si msafi.Kama msafi mbona alishindwa ku-declare interest zake za mradi wa umeme wa upepo singida?
 
Hizi ni ajali za kawaida tu, kwani wao wamewekeana ahadi na mwenyezi mungu kuwa hawawezi kupata ajali? Mwakyembe na asitake kuwachanganya watu yeye vile vile si msafi.Kama msafi mbona alishindwa ku-declare interest zake za mradi wa umeme wa upepo singida?

nadhani bwana patric nyemela tunajua anasimamia
 
.....
MASHUJAA GANI? Hao ni jumla ya MAFISADI TU! acheni kuwadekeza kama ni mashujaa kweli na watetezi wa wananchi kwanini hawakumuunga mkono DK SLAA kuhusu malipo makubwa wanayo jiengezea kila siku bila kujali uchumi wa nchi, pamoja na viwango vya watumishi wengine?
shujaa katika vita ya ufisadi ni DK SLAA peke yake hao ulio wataja ni wanafiki tu!
Ukipiga mahesabu ya pesa iliyokuwa inatiririka kwenda kwenye bomba la Richmond/Dowans. Pesa iliyo/itakayookolewa na nyumba zilizookolewa kwenye ununuzi wa nyumba za serikali na mengine mengi ambayo yameshupaliwa na wabunge hawa utagundua kuwa wabunge hawa wanapaswa kulipwa vizuri zaidi ili wafanye kazi nzuri na bila tamaa ya kuhongwa na mafisadi. "Chanda chema huvishwa pete"

Ndio maana kimataifa watu waliofanya mambo ya heshima na ujasiri mkubwa hupewa tuzo ya Nobel Prize ambayo humbatana na pesa. Wanasiasa ni watumishi wa wananchi lakini wanapofanya kitu against all odds lazima tu-appreciate. Waafrika tukoje? Wangari Mathai kaboresha mazingira Kenya tuzo kapewa Ulaya!!

Ni aibu kwa mtu kama Anne Kilango kupewa tuzo na wamarekani wakati anayoyapigania ni maslahi ya watanzania. Sisi watanzania ndio tulipaswa kuwa wa kwanza kumpa tuzo ya mwanamke jasiri, leo hii tumebaki kuitikia mwangwi wa wamarekani waliompa tuzo!

Ndio maana Maghufuli pamoja na mema yote aliyofanyia nchi hii, hakuna hata tuzo aliyopewa zaidi ya kuandamwa eti kamuuzia nyumba mtoto wake. Maghufuli alipaswa kupewa incentive ya zaidi ya nyumba!

Nini fahari ya kuipigania nchi yako? Hata kama wabunge hawatalipwa chochote I dont think if there will be any impact kwenye maisha ya watanzania tujiepushe na cheap politics. Kwamba ukitaka kukubalika na watanzania uanze kuanika vipato vya watumishi serikalini huku ukilinganisha na vipato vyao. NO. Dr. Slaa ninamuheshimu lakini hiyo njia aliyotumia kujenga hoja kwa wananchi was wrong. Je tuwambie police mishahara yao ni midogo sababu wabunge wanalipwa zaidi. Walimu je? Manesi je? Dr inabidi asuse kupokea hiyo pesa kwanza!

Watanzania umefika muda wa kuwaunga mkono mashujaa hata kama ni kwa kuwachangia pesa. Zile zama za kumsifu mtu aliyeibia umma na kuonyesha ukwasi mitaani umepita kwani utawakatisha tamaa hata hawa wachache hatimaye wajitoe kwenye hii vita endelevu dhidi ya ufisadi na mafisadi!
 
Hizi ni ajali za kawaida tu, kwani wao wamewekeana ahadi na mwenyezi mungu kuwa hawawezi kupata ajali? Mwakyembe na asitake kuwachanganya watu yeye vile vile si msafi.Kama msafi mbona alishindwa ku-declare interest zake za mradi wa umeme wa upepo singida?

Mkuu, kumbe na wewe una tatizo la uelewa mdogo! Wakiamua katika Bunge lile kila mtu ku-declare interest kwa mantiki yako na magazeti ya Rostam, hubaki na mtu kwani kila mtu pale ni mfanyabiashara na wengine wengi wana miradi ya pwagu na pwaguzi. Mwacheni Mwakyembe na wazalendo wenzake waendelee na mradi wao, KATU WASIMWACHIE FISADI ROSTAM ATAWALE UWANJA WA NISHATI, wakianza kuzalisha ndipo wafanye declaration of interest!
 
Mkuu, kumbe na wewe una tatizo la uelewa mdogo! Wakiamua katika Bunge lile kila mtu ku-declare interest kwa mantiki yako na magazeti ya Rostam, hubaki na mtu kwani kila mtu pale ni mfanyabiashara na wengine wengi wana miradi ya pwagu na pwaguzi. Mwacheni Mwakyembe na wazalendo wenzake waendelee na mradi wao, KATU WASIMWACHIE FISADI ROSTAM ATAWALE UWANJA WA NISHATI, wakianza kuzalisha ndipo wafanye declaration of interest!

Heshima zako Mkuu Kalengamab! Mwelimishe huyo Nyemela. Toka lini Kanuni za Bunge zikivunjwa zinajadiliwa kwenye magazeti ya Rostam na siyo Bungeni? Ooh mgogoro wa kimaslahi --- atakuwa nao Mwakyembe ambaye anaishi kwa mshahara badala ya mwizi mkubwa Rostam ambaye hata jina lake hatumii kwenye makampuni yote anayomiliki? Akili yake ni akili ya mwizi wa kutupa!
 
Back
Top Bottom