Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Ajali mbaya ya kutisha,watu kadhaa wanasadikiwa kufa majeruh wengi, nawaletea picha na chanzo cha ajar hv punde
Ajali mbaya ya kutisha,watu kadhaa wanakusudia kufa majeruh wengi,nawaletea picha na chanzo cha ajar hv punde
mtu anawahi kuleta thread hata hajajiandaa... sasa sijui issue ni kuwa wa kwanza kupost au nini, tuna ndugu, jamaa na marafiki sasa unapoleta kimini cha habari sijui unategemea nini
Halafu unasema watu kadhaa wanakusudia kufa---- as if ni optional!!! this is insane
then unasema utaleta pia chanzo cha ajari.... hivi chanzo ni rahisi kupatika ahivyo??
I am disappointed
Ajali mbaya ya kutisha,watu kadhaa wanakusudia kufa majeruh wengi,nawaletea picha na chanzo cha ajar hv punde
sasa unaposema watu "wanakusudia kufa" una maana gani??? wanakufa kwa makusudi???mkuu kwenye ajali kunamambo meng,kunakupigapicha,kuoko majeruh.naweka update sasahiv
dah poleni sana na ajali wakazi wa tegetaAjali mbaya ya kutisha,watu kadhaa wanakusudia kufa majeruh wengi,nawaletea picha na chanzo cha ajar hv punde
mkuu kwenye ajali kunamambo meng,kunakupigapicha,kuoko majeruh.naweka update sasahiv
mtu anawahi kuleta thread hata hajajiandaa... sasa sijui issue ni kuwa wa kwanza kupost au nini, tuna ndugu, jamaa na marafiki sasa unapoleta kimini cha habari sijui unategemea nini
Halafu unasema watu kadhaa wanakusudia kufa---- as if ni optional!!! this is insane
then unasema utaleta pia chanzo cha ajari.... hivi chanzo ni rahisi kupatika ahivyo??
I am disappointed
Kwa hiyo wale ambao Mungu amewapenda ndio wamekufa! Halafu hawa majeruhi unasema tunawaombea wapone, ina maana hawa hatutaki Mungu awapende! Ridiculous, tuimarishe hatua za kupunguza mazingira hatarishi barabarani, hakuna cha theology hapa!tunawaombea afya njema mungu awaludishie ....kwa upendo wake mungu wale wote alio wachukua walale mahala pema peponi.
Mkuu,mtu anawahi kuleta thread hata hajajiandaa... sasa sijui issue ni kuwa wa kwanza kupost au nini, tuna ndugu, jamaa na marafiki sasa unapoleta kimini cha habari sijui unategemea nini
Halafu unasema watu kadhaa wanakusudia kufa---- as if ni optional!!! this is insane
then unasema utaleta pia chanzo cha ajari.... hivi chanzo ni rahisi kupatika ahivyo??
I am disappointed
Mkuu,
Kuna lori lililosheheni simeti kutoka kiwanda cha Wazo limefeli breki wakati likishuka kilima kutokea kiwandani. Likaja kuparamia daladala zilizokuwa zinapakia Abiria nia panda pale. Likazoa daladala moja mpaka kwenye Duka la Vifaa vya ujenzi na Bar ya KMM. Mpishi aliyekuwa kwenye jiko la bar amefariki papo hapo, na abiria waliokuwa ndani ya gari wako nyang'anyang'a. Juhudi za uokoaji zinaendelea lakini dalili zinaonyesha kutakuwa na vifo vingi sana. Hivi sasa bado kichwa cha lori bado kiko ndani ya duka la Vifaa vya ujenzi baada ya kuufumua ukuta na kuzama ndani.
Mungu atunusuru na haya Majanga.
mkuu kwenye ajali kunamambo meng,kunakupigapicha,kuoko majeruh.naweka update sasahiv
una vias wewe.... LOLKwa hiyo wale ambao Mungu amewapenda ndio wamekufa! Halafu hawa majeruhi unasema tunawaombea wapone, ina maana hawa hatutaki Mungu awapende! Ridiculous, tuimarishe hatua za kupunguza mazingira hatarishi barabarani, hakuna cha theology hapa!
Hizi ajali tunajitakia wenyewe, hakuna cha upendo wa Mungu hapa!