SOLO BIZZLE
Member
- Nov 12, 2009
- 16
- 0
Hata mimi nimesikia tena nimeambiwa na traffic wakati nipo kwente foleni magomeni na kwa mujibu wa traffic huyo (manadada) wala co ndege ya kibongo ni ya ughaibuni,mwenye vipashio zaidi atuweke wazi.
Hata mimi nimesikia tena nimeambiwa na traffic wakati nipo kwente foleni magomeni na kwa mujibu wa traffic huyo (manadada) wala co ndege ya kibongo ni ya ughaibuni,mwenye vipashio zaidi atuweke wazi.
Tunashukuru kwa kutujuza mkuu,ila kwanini walipakia abiria badala ya kuichoma moto hiyo ndege ili watest hivyo vifaa vyao?Ni majaribio ya vifaa vya zimamoto vya uwanja wa ndege...
Tunashukuru kwa kutujuza mkuu,ila kwanini walipakia abiria badala ya kuichoma moto hiyo ndege ili watest hivyo vifaa vyao?
uvumi unaendelea kutembea, hadi sory ifike musoma, ishakuwa totaly different, kila mtu anaongeza lake kama story ya manyoya ya salender lol!Hata mimi nimesikia tena nimeambiwa na traffic wakati nipo kwente foleni magomeni na kwa mujibu wa traffic huyo (manadada) wala co ndege ya kibongo ni ya ughaibuni,mwenye vipashio zaidi atuweke wazi.
nimemuuliza swali hilohilo leo hii hii naona anakwepa kujibudorin maambo?
mchumba ulipata??
wabongo ndo tulivyo.nimemuuliza swali hilohilo leo hii hii naona anakwepa kujibu
TBC just also reported the accident according to a friend..that the dead passengers have been transported and the injured to muhimbili...any further informations??
TBC just also reported the accident according to a friend..that the dead passengers have been transported and the injured to muhimbili...any further informations??
Mmmh kumbe kuna na walio kufa?TBC just also reported the accident according to a friend..that the dead passengers have been transported and the injured to muhimbili...any further informations??
sasa ndiyo waangushe ndege? au ndiyo tuseme ni za kijeshi? kwanini serikali isiwe inatoa taarifa kwa wananchi kama wanafanya majaribio?
Duh Afadhali. But naomba niulize. kwanini wanavitest wakati matukia ya ajali za moto tunayo Daily Mbona visiwe vinapelekwa huko practically? au hivyo ni kwaajili ya aiport tu?
dorin maambo?
mchumba ulipata??
Mbona hujamuuliza siku zote au umekimbiwa sasa unatafuta kukimbilia? Usimjibu Dorry huyo hakuhitaji kukusaidia tangu awali. MKAUKIE THE BOSS na u-boss wake.
dorin maambo?
mchumba ulipata??
Hahahahahahaha...mchokozi Boss!.... Hujasahau tu mambo ya Dorin ya kutafuta mchumba!?
Huyu ndo bosi bana!!naona humujf tumevamiwa na walokole..
swali simple,uliweka tangazo la kutafuta mchumba.
je umefanikiwa?
alie kwambia mi nataka nikuchumbie nani??????