babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,063
- 15,919
mkuu reekebisha kwanza humo kisha tuje kuisoma maana.
pole sana mkuu,ndugu sita kwa mpigo si mchezo.lakini ndio ilivyo serikali yetu ndio kwanza itakuletea ripoti ya uchunguzi kurasa kibao ili uone uvivu kusoma kisha imekula kwako,wakati wewe umepoteza ndugu zako.:angry:Hiyo ajali ilikuwa kuboko,niliwapoteza ndugu zangu sita hapo na siyo siri sina hakika kama serikali imefanya jambo lolote kubwa walizoahidi. May The Souls of the departed brothers and sisters be granted eternal peaceful rest. Amen!
Kaitaba please usinitoneshe kidonda ambacho kilishaanza kukauka.
Nilipoteza watu wangu wa karibu sana katika ajali hiyo.
Ni vizuri tukawa tunaadhimisha kila inapofikia tarehe hiyo kwa kuwaombea waliotutoka.
Ni vizuri tukaadhimisha.
Tarehe uliyoitaja inawezekana ndiyo tarehe aliyofika Ben Mkapa pale uwanja wa Nyamagana kusitisha zoezi la kuwatafuta ndugu zetu baada hata ya wataalamu kutoka South kuchemsha na kuondoka na siri moyoni kwa kile walichokishuhudia chini ya maji.
Umenikumbusha mbali,,,,,kwani ile ripoti ya uchunguzi wa ajali ilisha toka?
KUMBUKUMBU ZINANIONYESHA Mv BUKOBA ILIZAMA USIKU WA KUAMKIA TAREHE 21/MAY/199,kuna lipi jipya la kutufanya tuadhimishe tarehe 25?hata hayo maadhimisho yenu sipendi kuyasikia.
K
mkuu reekebisha kwanza humo kisha tuje kuisoma maana.
Nashukuru, bahati mbaya sikusomea arts, nimesomea sayansi, unisamehe bure, sijui nirekebishe nini, pamoja na hayo kuna wengine wanajaribu kuchangia,hivyo hivyo na wewe jaribu mimi nitakuelewa tu ndugu yangu uwe na amani ya BWANA.
sio suala la arts wala sayansi shemeji yangu ni zaidi ya hilo.....nakumbuka kwa wakwe zangu kashozi kashekulo
Kuna tulilojifunza kutokana na ajali ile kweli?................au ndio business as usual..............sio ziwani tu hata barabarani.............