SIKU chache baada ya serikali kutangaza kusitishwa kwa zoezi la uopoaji wa miili katika meli ya Skagit iliyozama karibu na Kisiwa cha Chumbe, baadhi ya wananchi wamerusha lawama kwa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) kwamba ina upungufu katika utendaji wao wa kazi.
Wakizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita baadhi ya wananchi walisema kumekuwa na mchanganyiko wa idadi ya abiria kila meli inapopata ajali, hali inayoonesha kwamba Sumatra hawana utaratibu mzuri wa kuelekeza wamiliki wa vyombo vya majini jinsi ya kutunza kumbukumbu za abiria wanaopanda melini.
Hakuna utaratibu mzuri wa kutunza kumbukumbu wanaoingia katika meli na hii inachangia watu wengi kuingia katika chombo bila shaka kupita uwezo wake. Alisema Saidi Kilopwa Saidi aliyekuwa akisafiri kwenda Zanzibar aliyekuwa bandarini Dar es Salaam.
KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA
GUMZO LA JIJIWakizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita baadhi ya wananchi walisema kumekuwa na mchanganyiko wa idadi ya abiria kila meli inapopata ajali, hali inayoonesha kwamba Sumatra hawana utaratibu mzuri wa kuelekeza wamiliki wa vyombo vya majini jinsi ya kutunza kumbukumbu za abiria wanaopanda melini.
Hakuna utaratibu mzuri wa kutunza kumbukumbu wanaoingia katika meli na hii inachangia watu wengi kuingia katika chombo bila shaka kupita uwezo wake. Alisema Saidi Kilopwa Saidi aliyekuwa akisafiri kwenda Zanzibar aliyekuwa bandarini Dar es Salaam.
KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA