Ajali ya meli ya skagit: Bi. Harusi afa bwana harusi apona

Gumzo

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
211
7
[h=3][/h]
Stori:Mwandishi Wetu
HUKU majonzi yakiwa bado yametawala miongoni mwa Watanzania kufuatia vifo vya watu waliokuwa ndani ya meli ya MV Skagit ambayo ilipinduka na kuzama Julai 18, 2012 karibu na Kisiwa cha Chumbe, Zanzibar mambo mengi yameibuka.

Nje ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik siku ya Jumatano (juzi) ambako serikali ilikuwa ikitoa ripoti ya maendeleo ya uokoaji, baadhi ya watu walikuwa katika hali ya majonzi kufuatia ndugu zao kutojulikanna walipo.

KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA GUMZO LA JIJI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom