Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Kila kukicha huku bara ikiwa ni pamoja na Kigoma maelfu ya watanganyika wanakufa kwenye ajali za mabasi lakini sijawahi kusikia mnataka watu waache kufanya matamasha yao!
Nakumbuka Kamadoo na Mkapa wapoliua Wapemba 27(tu?!) mwaka ule matamasha, sherehe, taarabu, mechi za ligi, etc. ziliendelea kama kawa Unguja na Bara.