ninachokiona mimi humu ndani jamvi ni washindani wa vodacom ambao ni tigo, airtel na zantel wanajaribu kuichafua vodacom kwa kuwa wanashindwa kupambana nayo katika njia za kawaida. otherwise waende wakailaumu basata ambao ndio wadaaji wa shindano la miss tz, vodacom ni sponsors tu, hivyo hawapaswi kulaumiwa! kitu kingine cha muhimu ni kwamba nani alaumiwe yule aliyesababisha msiba utokee au yule ambae aliendelea kiufanya kazi wakati msiba unatokea?Mkuu wangu, hivi haya mashindano ya u miss si yanaandaliwa na BARAZA LA SANAA TANZANIA - BASATA? Vodacom ni sponsor tu. Hivi sponsor ana mamlaka ya kusimamisha mashndano ya kumtafuta miss tanzania?
Ligi kuu ya vodacom iliendelea jana kama kawaida. Vodacom walikuwa na uwezo wa kuisimamisha ligi? yeye si sponsor tu ...anayasimamia ligi ni TFF ..!