mkuu wewe ni vodacom protect ila ujajishitukiahivi jirani yako akiwa na msiba na wewe ukafanya sherehe ni sahihi?au mpaka uwe umeua mtu ndio lionekane kosaupumbavu katika rangi zake, kwani VODACOM ndio iliyoendesha ile meli hadi ikazama, kwani vodacom ndio waliruhusu meli ya mizigo ijaze abiria, kwani Vodacom ndio walipaswa kugawa lifejackets baada ya meli kutoboka, ujinga mwinge kwani VODACOM NDIO WALIOVUJISHA MAJI YAINGIE MELINI...HATUFIKIRI KWA KINA ...Tunawaza kipuuzi.
Mbona hawaituni TBC iliyopiga densi mchana kutwa, badala ya kuhabarisha WaTZ, mbona hatusikii wale wakaguzi wa meli kule pemba wamechulkuliwa hatua gani?
kwa serikali kujiingiza katika mgogoro huo ni kutowatendea haki Wawekezaji hao na ni uonezi usiokubalika, by the way aja;li imetokea Huko Znz kwa muda ule hakuna alijua kwa hakika ni janga kubwa kiasi katika siku ambayo Miss Tz ilifanyika
SMZ wako sahihi kabisa kususia hiyo misaada ya Vodacom, ambao walikuwa wakiendesha mashindano ya miss "uchi" wakati nchi iko kwenye maafa, hayo ndio maamuzi magum licha wenzetu wako kwenye matatizo, pia pongezi za dhati zimfikie mh. Rais wa Zenji kwa kuonesha skills zake ktk kusolve issue ya kuokoa watu kupitia kamati husika
naomba unisaidie...angalia picha zilizowekwa kwenye hii thread! Unawachukuliaje wale wazungu waliovaa vikaptula vifupi wakiwa wanatoa huduma ya kwanza....mimi naona wana utupu kama wa ma wale ma miss! Jamani tuomboleze msiba huu kwa amani tu..badala ya kuanza kuwaza mambo mabaya kwa wengine...haisaidii kabisa!SMZ wako sahihi kabisa kususia hiyo misaada ya Vodacom, ambao walikuwa wakiendesha mashindano ya miss "uchi" wakati nchi iko kwenye maafa, hayo ndio maamuzi magum licha wenzetu wako kwenye matatizo, pia pongezi za dhati zimfikie mh. Rais wa Zenji kwa kuonesha skills zake ktk kusolve issue ya kuokoa watu kupitia kamati husika
VODACOM ndo wamepindua meli?ona miili ya hao watoto malaika .......kweli ni makosa makubwa sana voda wamefanya
Wajiandae ofisi zao kuchomwa moto
mkuu ,hakuna hata mmoja atakaye kujibu kwa hoja hapo. Mimi nadhani kuna chuki fulani iko nyuma ya hii kitu ya U Miss!!Jamani we need to use just simple commonsense kabla hatujaandika or kutoa comment yoyote kwa hili.
Moja hivi hiyo misaada ni wa serikali au walioathirika na lile janga.
Pili hivi yule mshindi wa miss tanzania anapokwenda miss world anaiwakilisha vodacom or tanzania.
Tatu hili shindano lipo chini ya basata au vodacom.
Nne unaniambie nisusie je umenipa option gani kama kwangu napata mtandao huo tu?
Tano naomba uliza je hao smz wameshachukua hatua gani kwa walioruhusu meli iondoke wakati ipo ovarloded?
Sita je tunaelewa nini maana ya neno mdhamini?
Saba je shughuli zote za burudani j1 zilisitishwa (akudo, twanga pepeta, zanzbr stars nk) hawakufanya maonyesho yao?
Nane tushapata majanga kama hayo na yakajirudia bila statment za kueleweka toka serikalini(mabomu, now meli) na tume zenye kutafuna hela bila majibu na ahadi hayatatokea tena.
Mwisho nikiwa kama mwananchi wa kawaida na mwenye uchungu na hii nchi tuelekeze mawazo yetu zaidi kwa hii serikali yetu imekazana kununua mashangingi ya kisasa (mil 300) inabeba mtu mmoja lkn kivuko cha watu 1000 hakuna bajeti je hili ni sahihi? Watu tunalalamika tususie je ni watanzania wangapi wanapata kula yao ya siku kupitia haya mashirika na ukipunguza kipato chake ye anapunguza cost za uendeshaji kwa kupunguza ajira je utakuwa umemkomoa nani yeye au mtanzania mwenzako?
Mwisho anayetakiwa kuwajibika kwa yote ni selikali yetu mimmi na wewe na kama wangetoa tamko kusitisha shughuli zote za burudani nani angebisha?
Naomba kuwasilisha
<br />Rostam its now your time to be crucified