Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 631
SMZ wako sahihi kabisa kususia hiyo misaada ya Vodacom, ambao walikuwa wakiendesha mashindano ya miss "uchi" wakati nchi iko kwenye maafa, hayo ndio maamuzi magum licha wenzetu wako kwenye matatizo, pia pongezi za dhati zimfikie mh. Rais wa Zenji kwa kuonesha skills zake ktk kusolve issue ya kuokoa watu kupitia kamati husika
hawa si walikua wadhamini tuu au ukiwa mdhamini ndio unaendesha pia? Tumia akili jamani, msiwaonee!