WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
Kwa mfanya biashara mahiri tunasema Ndo ndo ndo si chululu. Na Vodacom wanalijua hilo ndio maana wameweka coverage nzuri huko.
Ni Bora kabisa kuwa BAN wasioperate na kuondoa kila kilicho chao kwani wao wana kibri na dharau dhidi ya maisha ya watu. Hili litakuwa fundisho kwao na wengine wanadharau mamlaka za SMZ.
Shame! Masuala ya biashara nayo mnayachukulia kisiasa?
Ukisikia kufirisika kimawazo ni pamoja na hili la kuwashupalia
Vodacom!