Maskini... Nimeona katika gazeti la Mwananchi dereva taxi akilalamika wanawe watakula nini baada ya kukatwa mguu wa kushoto na kutakiwa kusubiri miezi 6 Hospitalini ili apate kupona mguu wa kulia uliovunjika mara 2... Amelalamika kuwa Jaji Rugazia Hajaenda kumjulia hali tangu apate ajali...
I wish ingefanyika na Tz, inasikitisha sana!Kwa nchi kama Ujerumani huyu Jaji anakuwa responsible kugharimia familia ya huyo tax driver kwa maisha yao yote muda wake wote wa kuishi hapa duniani maana hawana njia nyingine ya kupata kipato tena. Sijuwi kwa TZ suala kama hili linachukuliwaje. Mbaya kabisa.
Alikuwa anatoka wapi na ajali ilikuwaje? Hebu data please
]Alikuwa[/COLOR] na mke wa m/kiti mmoja wa ccm mkoa ambaye anatoka familia nzito na yenye kuheshimika nchini. Blow job style. Ndio maana mkewe alimchapa vibao mbele ya polisi baada kutoonekana home kwa muda mrefu. Mjivuni na mvunja ndoa za watu na mdahririshaji wa surboardinates wake especially waliochini yake. Hafai
JF... where we dare talk openlyAlikuwa na mke wa m/kiti mmoja wa ccm mkoa ambaye anatoka familia nzito na yenye kuheshimika nchini. Blow job style. Ndio maana mkewe alimchapa vibao mbele ya polisi baada kutoonekana home kwa muda mrefu. Mjivuni na mvunja ndoa za watu na mdahririshaji wa surboardinates wake especially waliochini yake. Hafai
alikuwa na mke wa makongoro nyerere ambaye ni judge pia swali la kujiuliza ni jee walikuwa wanatoka wapi usiku mkubwa huo?
mama yangu weeee.......................!!! Makubwa hayo!!!!