Mhache
JF-Expert Member
- Jun 20, 2008
- 345
- 24
Watu kadhaa wamekufa kutokana na moto kuwaka ndani jahazi. Chanzo cha ajali hiyo hiyo ni moto ulioanzia kwenye magodoro yaliyokuwa ndani ya jahazi hiyo iliyokuwa ikitokea Tanga. Inasemekana kwamba moto ulisambaa kwa haraka kutokana upepo mkali uliokuwa ukivuna. Je katika hili who is to blame?