Gari aina Nissan T346 BZC Xtrail ikielekea Mwanza imepata ajali muda si mrefu hapa Chikuyu karibu na Manyoni. Ilikuwa na wanaume wawili na binti mmoja mdogo. Wanaume wameumia vibaya sana wamepelekwa Kilimatinde Hosp. Binti ametoka mzima. Nimeshindwa ku-upload pics