Pia wengine 25 wajeruhiwa na kukimbizwa muhimbili, mabasi mawili ya Kenya na malori manne yamehusika katika ajali hiyo. Pia mabasi matatu makubwa njia ya Morogoro Dodoma yapata ajali, source TBC: abiria tukemee madereva mwendo kasi, trafiki fanyeni kazi zenu, rushwa ni hatari! Tutakwisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.