mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Wajameni, ajali imetokea eneo la Mbezi Kimara. Likihusisha basi la kampuni ya ABOOD lililokuwa linatoka Morogoro kuelekea DSM. Inaelezwa kuwa kulikuwa na msafara wa kiongozi, hivyo dereva wa basi kwa kuwa alikuwa katika mwendo kasi alishindwa kulizuia basi likamshinda na kupinduka.
Kamanda wa Poilsi mkoa wa Kinondoni amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na watu kumi wamejeruhiwa vibaya.
OMBI: kwa mwenye taarifa mpya kuhusu ajali hii tunaomba kujulishwa.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Kamanda wa Poilsi mkoa wa Kinondoni amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na watu kumi wamejeruhiwa vibaya.
OMBI: kwa mwenye taarifa mpya kuhusu ajali hii tunaomba kujulishwa.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!