Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Ajali mbaya imetokea mjini Iringa asubuhi hii na kusababisha vifo vya watu watatu papo hapo huku abiria waliokuwemo katika fuso wakinusurika katika ajali hiyo.
Mwili wa dereva Taxi ukiwa bado kutolewa
Ubongo ukiwa umetapakaa eneo la ajali
Miili ya wafanyakazi wa barabara Iringa ambao walikufa katika ajali hiyo.
Chanzo cha ajali hakijawekwa wazi. Picha na habari zaidi Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
Mwili wa dereva Taxi ukiwa bado kutolewa
Ubongo ukiwa umetapakaa eneo la ajali
Miili ya wafanyakazi wa barabara Iringa ambao walikufa katika ajali hiyo.
Chanzo cha ajali hakijawekwa wazi. Picha na habari zaidi Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo