Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Imetokea mara mbili kwenye ndoto na wakati mwingine nahisi huzuni flani hivi nikiwa relaxed,mara ghafla mawazo ya ajali yananijia, usiku wa leo pia imetokea, baada ya kumaliza kukemea, niliwasha tv, nikakuta matukio ya ajali za ndege mbalimbali miaka 70s KLM, Panama etc, Nikajiuliza what a coincedance!!
Labda unaoneshwa ni kweli lakn sio Tanzania.inaweza kuwa ni ndege ya shirika kubwa na aitakuwa na waTZ huko.Tuombeni jamani sio kila kitu ni cha kupuuza na kubeza.